Dalili
za mwaniaji wa urais David Maraga kushirikiana na kikosi cha Linda Mwananchi
kumuua rais William Ruto
Madere
zimedhihirika hii leo wakati Maraga alipokuwa akizungumzia hali ya taifa
wabunge watatu kutoka Linda
Mwananchi
walihudhuria hafla hiyo na kuidhinisha azma yake Maraga huku wakisema kuwa
Maraga ndiye mwaniaji
Pekee
ambaye wanaweza kumpa Seneta Edwin Sufuna kuwa mgombea mwenza wake. Pengine
tutarajie tiketi ya Maraga Sifuna. David Mudhoka anachambua.
Jina
la Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna limezidi kuhusishwa na kinyang'anyiro cha
ikulu cha mwaka ujao.
Hii
leo likitajwa kwenye hafla yake kiongozi wa UGM David Kenani Maragaa.
All
these tribal groupings must come and support killing people like Maraga.
And
if Sifuna is not going to be a presidential candidate, the only person I will
allow Sifuna to deputize is Maraga. Nobody else.
Viongozi
wengine waliokuwepo wakipigia debe muungano mmoja wa viongozi wote wa upinzani
kama mbinu pekee ya kumuoa Rais Ruto mamlakani.
Mimi
na Chief Justice Emeritus tunataka kutembea pamoja.
Kwa
sababu kwa sababu mioyo yetu na maadili yetu yanafanana. Nobody is going to
make it
Without
collaborating with others. So we are finding our ground on how to collaborate.
The ultimate decision is yours.
So
we have come here with a hand of friendship as Azimio as Linda Mwananchi with
an embrace of brotherhood so that
We
can find a formula to work together with you to bring the change that this
country so desperately needs. This opposition unity must be built on a
convergence of values not appetites.
We
need to unite under the rule of law and permanently ensure that no future
leader can weaponize state power to root
Public
resources kill our children and silence descent. Kwenye hotuba yake inayojiri
baada ya miezi ya kukusanya
Maoni
kutoka kwa wakenya katika kaunti 43 kati ya 47. Maraga alisisitiza kuwa
Ni
sharti wakenya wamtoe rais William Ruto mwezi Agosti mwaka ujao. Take it from
me.
If
Ruto or is reelected or anyone who espouses his value systems
Takes
the reigns of this country, it will be tragedy. [muziki] Ameni wakenya acheni
kulala.
Msichague
wakora maraga akiongeza kuwa ikiwa rutoapata
mhula
mwingine taifa litazama i just need five years. Give me five years only
it
has taken routerally demolish this country. Mbio za ikulu zinazidi kupamba moto
ikiwa imesalia
miezi
14 kabla ya wakenya kuelekea debeni. David Mutsoka NTV Nairobi
https://youtu.be/cL54G41XDGg?si=2WQvR1vtQkBfeb05
No comments:
Post a Comment